Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale Flamengo, Dar Es Salaam


Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
3
Barabara ya Karibu
20m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA INAUZWA – MADALE FLAMENGO
Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa ipo Madale Flamengo, karibu kabisa na barabara ya lami — umbali wa takriban mita 20 tu (dakika 1). Inafikika kirahisi kwa gari aina yoyote, barabara ni nzuri na rafiki.
✨ Sifa za Nyumba:
• Vyumba 3 vya kulala
• Vyumba 2 ni Master
• Sebule kubwa
• Dining kubwa
• Jiko la kisasa
• Choo cha wageni (public)
• Ipo ndani ya fence
• Ina electric fence
• Geti la kisasa la kuteleza (sliding gate)
📍 Eneo ni tulivu, salama na lina neighborhood nzuri sana
💡 Inafaa kwa makazi binafsi au uwekezaji
💰 Bei: Milioni 150 (mazungumzo yapo kidogo)
📞 Muhitaji piga: +255688412890
💼 Service charge: 30,000/=
Karibu ndugu mteja, fanya uwekezaji sahihi leo!



















