Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Majohe, Dar Es Salaam


NYUMBA YA MIL.25 HII HAPA,MAJOHE KAMPALA UNIVERSITY.
BEI SASA IMEPOROMOKA.
BANK WANATAKA CHAO MAISHA YAENDELEE.
Weka 10% ya Dalali juu Chukua Makazi ya
Familia ya kuduma.
Awaiting ilikuwa inauzwa Milioni 37.
SASA MUNGU AKUPE NINI?
WAHI.
Vyumba 3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Na pia kuna Fremu moja ya Biashara.
Kilomita 1.5 kutoka GONGOLAMBOTO Mwisho.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________jj



















