Nyumba/Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


APARTMENT《 4》 TU NDANI YA FENCE MOJA ZINAPANGISHWA
MAHALI ZILIPO SALASALA MWISHO WA LAMI KWA MKUU WA MAGELEZA
USAFILI BAJA JI 《700 》
UMBALI WA DAKIKA 《8》 KWA MIGUU UKISHUKA STENDI
SOMA KWA MAKINI
SIFA ZAKE
《A》
Vyumba 3 vya kulala vyote ni Master VYUMBANI KUNA ACE PIA KUNA MAKABATI YA NGUO
Seble Kubwa
Jiko kubwa
Store jikoni full makabati
Public toilet
Maji Ndani PIA KUNA HEATER YA MAJI moto
Luku yako KODI KWAMWEZI NI 1100,000 malipo X2x3
《E》
chumba master sebule kubwa sana jiko kubwa sana full makabati inajite gemea umeme na maji KODI KODI KWAMWEZI NI 700,000 malipo MIWZI X2X3
《SI》
yumba viwili
kimojawapo ni master kubwa sana sebule kubwa sana jiko kubwa sana lenye makabati public toleti ndani kodi KWAMWEZI NI 1000,000 malipo MIEZI X2X3
ZIPO Ndani ya fence zipo 4 tu
Parking space kubwa sana full gardeni
Service charge 《2O》
Malipo ya dalali NImwezi mmoja unampatia dalali ukilipia nyumba
DALALI KIMARA SUKA LEONARD
0719-092747