Nyumba/Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Magomeni, Dar Es Salaam


APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA
Ina vyumba vitatu kimoja ni master bedroom na sebure na jiko na choo cha public cha ndani
Inajitegemea umeme luku yakwako na maji Inajitegemea
# Ipo magomeni
Bei ni 1,200000 kwa mwezi
Service charge elfu 20. Ukilipia nyumba ni kodi ya mwezi mmoja malipo ya dalali
# Simu 0757 404087