Nyumba/Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Sinza, Dar Es Salaam


NYUMBA-2-PAMOJA, KIWANJA SQM.1,004,
TSHS 750 MILIONI,SINZA.
Mtaa tulivu,
Jirani na Barabara ya Lami,
SINZA MORI.
Ukubwa wa Kiwanja SQM.1004.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Kila nyumba INAJITEGEMEA.
Vyumba 3 (Masta 1) Sebule,
Jiko na Choo cha Familia ndani.
Panafaa kuweka Hoteli,
Apartments za Kisasa au
Makazi yako yenye nafasi YAKUJIACHIA.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
____________Slt