Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kimara, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE HATI,VYUMBA 4,TSHS.150 MILIINI,KIMARA-MWISHO.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.1,200.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Umbali wa kilomita 1 tu kutoka Barabara ya Morogoro/MWENDOKASI.
Nyumba kubwa vyumba 4 ( 2 Vyoo ndani)
Sebule, Jiko na Vyok vya Familia 2.
Vile vile kuna nyumba ndogo nyingine ya pembeni yenye vyumba 4.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________mpg




















