Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kinyerezi, Dar Es Salaam


π‘β¨ NYUMBA YA KISASA INAUZWA β KINYEREZI MBUYUNI β¨π‘
Ni nyumba ya kishua haswaa π₯ ipo kwenye neighborhood tulivu na salama sana.
π Dakika 5 tu kutoka main road (lami).
πΉ Sifa za Nyumba:
ποΈ Vyumba 4 vya kisasa
π³ Garden kubwa na mazingira mazuri
π Boycotta nyuma
π΄ Sugarcane (mazingira ya kijani)
π§± Tiles za kisasa
βοΈ AC
π° Kisima cha maji
π Parking ya kutosha
β‘ Electric fence
π Hati ipo
π Ukubwa wa eneo: Sqm 2,000
π° Bei: TZS 1,000,000,000 (Bilioni 1) β maongezi kwa mteja serious
Ni nyumba inayofaa kwa makazi ya kifahari au uwekezaji wa kiwango cha juu.
π₯ Karibu sana tajiri tufanye biashara!
π +255 688 412 890
#KinyereziMbuyuni #NyumbaYaKishua #LuxuryHome #DalaliWakoWakishua #MilikiKeshoYakoLeo


















