Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA NZURI VYUMBA 4,TSHS.63 MILIONI,KIVULE-SOKONI.
Nyumba kubwa ina vyumba 3 (Masta 1)
Nyumba ndogo ni ya Chumba 1 na,Sebule yake.
Kiwanja SQM.430.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ni jirani na Kituo cha Daladala na nyumba Ina Kisima.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________msk


















