Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Wazo, Dar Es Salaam


NYUMBA INAUZWA – TEGETA WAZO
📍 Eneo: Tegeta Wazo
📐 Kiwanja: sqm 600
🏠 Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa, ipo katika mazingira tulivu na salama – inafaa kwa familia!
Sifa za Nyumba:
🛏 Vyumba 4 vya kulala (1 Master bedroom)
🛋 Sebule kubwa
🍽 Dining
🍳 Jiko lenye nafasi
📦 Stoo
🚽 Choo cha nje (public toilet)
👩🍳 Chumba cha mfanyakazi kipo nje
💰 Bei: Milioni 200 (maongezi yapo)
📞 Wasiliana na:
#0692406639
🌟 Fursa ya kipekee ya kumiliki nyumba bora katika eneo linalokua kwa kasi!