Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Bonyokwa, Dar Es Salaam


Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
400 SQM
Maelezo
🏢✨ NYUMBA YA GHOROFA INAUZWA – BONYOKWA KWA KICHWA, DAR ES SALAAM ✨🏢
💰 BEI: Milioni 320 (Maongezi yapo – leta offer yako tuzungumze)
📐 Ukubwa wa eneo: SQM 400
📜 Umiliki: Hati Miliki
🏡 SIFA ZA NYUMBA:
✅ Vyumba 4 vya kulala (2 Master)
✅ Sebule + Dining room
✅ Jiko la ndani
✅ Public Toilet
✅ Kisima cha maji
✅ CCTV Camera
✅ Electric wired fence
💼 Biashara: Inafaa kwa asilimia 10
Nyumba hii ni chaguo bora kwa makazi ya kifahari au uwekezaji wa biashara.
📲 PIGA AU WHATSAPP: +255 688 412 890



