Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


(120,000 × 6) MASTER NA JIKO KIMARA TEMBONI
📍BEI - 120,000 x6
NYUMBA
YENYE
______
🔸 Maji yanatoka ndani
🔸Jiko
🔸Wapangaji wawili tu
🔸Ila kimoja ndicho kipo waziiii
🔸Umeme
🔸Haipo kwenye fensi,ila usalama wakutosha
🔸Umbali wa 1.5km
Bajaji 700
📍Service charge ni shilingi 15,000
Malipo ya dalali ni Mwezi mmoja
Contact:
0654101710
0787205300