Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







INAPANGISHWA LOCATION #KIMARA_STOP_OVER DK 4
KUTOKA STEND STOP OVER KUPELEKWA KUONA ELF 15,000 UKIPENDA NYUMBA DALALI UTAMPA PESA YA MWEZI MMOJA
SIFA YA NYUMBA
__________________
#chumba
#sebule master bedroom
#haina jiko
Kwa chini zipo 2 wazi
Inajitegemea umeme NA maji
Mazingira mazuri sana
Wale ambao hampendi mbari njoo na hela
Jamani nasema hazina jiko
Kwa wasela zinafaa sana
KODI YA PANGO
________________
Kodi ni laki mbili tuu/=
(200,000)
X 6
Hachukuwi chni ya miezi sita
KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU
DALALI KIMARA SUKA LEONARD
0719-092747