Nyumba inapangishwa Kinyerezi, Dar Es Salaam


NYUMBA INAPANGISHWA TSH 800,000/= KINYEREZI MONGORANDEGE, DAR ES SALAAM TANZANIA;
____________
Nyumba ina vyumba 5, vya kulala/vyumba 3 vina vyoo na bafu/Sebure/Jiko/sehemu ya kulia chakula/choo na bafu vya familia/umeme/maji_dawasa/garden/A/C /uzio/sehemu kubwa ya kuegesha magari nk
___________
*Mpangaji: Atalipia Tsh 20,000/= kupelekwa kuonyeshwa nyumba
*Mpangaji: Atalipia Malipo ya miezi 6 kwa mwenye nyumba+Mwezi mmoja kwa dalali, ulipiapo nyumba.
_________
>>Napatikana; Kinyerezi Dar es salaam Tanzania
Piga simu/WhatsApp no
0682511712. 0759989890
0629649362. 0652043191 whasp