Nyumba inapangishwa Makumbusho, Dar Es Salaam


KARIBU EYESON PROPERTY
Kwenye Picha Chini ni Moja ya Kazi Zetu Ambazo Tunazozijenga  Ndani ya Mwezi huu wa 6 na Karibuni Sana Kwa Ujenzi wa Nyumba Kuanzia Milion 30 na Kuendelea
Ujenzi wa Godown 
Ujenzi wa Maghorofa 
Kwa Kutumia 
Tofali za Aina Mbalimbali Kuanzia Chipping na Kawaida
Kwa Ujenzi wa Nyumba Kuanzia  Kiwango Mbalimbali Cha Fedha.
Unakaribishwa Kwa Ujenzi Safi 
Kwa Mafundi Waliobobea na Wataalamu wa Hali ya Juu Karibu Kwenye Kampuni Yetu Kwa Ujenzi Bora.
Tuna Project Nyingi za Ujenzi Katika Mikoa Mbalimbali TANZANIA Kwa
Pia Tutatengeza Ramani na Kuandaa BOQ ama Makadirio ya Ujenzi wako Kwa Gharama Nafuu Kabisa 
Tupigie kwa 
0715-908698(Call/Whatsaap)
0759-538688(_Call)
OMARI RAJABU
-ASS DIRECTOR 
EYESON PROPERTY TANZANIA LTD
MAKUMBUSHO COMPLEX  STENDI JENGO LENYE ATM YA CRDB NA NAMBA 
Tunajenga Mkoa Wowote na Tunasimamia Ujenzi wako Kuanzia Hatua ya Awali Foundation Mpaka Finishing Sambamba na Kufuatilia Kibali cha Ujenzi na Kutengeneza Ramani ya Nyumba yako
Pia Tunafanya Interior Design ya Ujenzi na Majengo Mbalimbali
Kwa Mahtaji Pia ya UJENZI Kwa Wale Ambao Wnaahitaji Huduma ya UJENZI tu na Vifaa Wanavyo Pia Tunafanya Kwa Gharama Nafuu Sambamba na Kufanya Ukarabati Mdogo na Mkubwa wa Ujenzi wa NYUMBA,Miundombinu ya Barabara na Masuala Mbalimbali ya UJENZI wa Aina Mbalimbali za Makazi,Mashule na Biashara
Tupitie kwenye Tovuti yetu hapo Chini
follow a link to this website: http://eyesonproperties.co.tz/ @ Dar es Salaam, Tanzania @ Dar es Salaam, Tanzania
Karibu sana ofisini kwa ushauri na Kazi za UJENZI




















