Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


STAND ALONE mbezi beach Masana njia ya goba kituo Cha tatu
Location :: UlOMI
Bei yake :: 450,000Tsh kwa mwezi (Miezi 6)
Muundo wa nyumba;
🌡️Vyumba vitatu (Kimoja Masta)
🌡️Sebule kubwa
🌡️Jiko lenye makabati
🌡️Choo cha wageni
🌡️Fans
🌡️Paving Blocks
🌡️Fence
Call/Whatsapp;
0679788830
0712314638