Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

 media -1
media -1
media -2
media -3
Sh. 3,300,000
Project
Yes

JE WEWE NI MMOJA WAPO UNAYEITAJI/KUHANGAIKA KUPATA VIWANJA VYA MJINI....!?
..
Hii inakuhusu wewe unayeitaji kupata viwanja vya mjini, ambavyo vina huduma zote za muhimu.
Chagile Real Estate ni mabingwa na wazoefu wa hizi kazi, kwa zaidi ya miaka mitano.
Piga/WhatsApp
0654 77 39 67
0752 74 47 81
..
Tumekuandalia miradi yetu MITATU ya viwanja MBAGALA VIKINDU MJINI hupaswi kukosa kabisa ndugu mtanzania tena kwa bei rahisi na zakizawa.
..
Ni Viwanja Vizuri Na mji uliopangiliwa kisasa zaidi, viwanja vimepimwa ni tambarare na vimezunguka na huduma muhimu za kijamii, kama hospitali, shule za serikali, maji, umeme, vituo vya polisi na usafiri wa bajaji na bodaboda upo kila siku.

1]MRADI WA VIKINDU VIANZI MJINI.
Mradi wetu wa Vikindu Vianzi mjini bei zake ni TSh million 2.6 [tsh 2,600,000 /=] kwa millioni 3.3 TU [tsh 3,300,000/]. Malipo kwa awamu mbili utaanza na asilimia 50% hadi 70% kiasi kinachobakia utapewa miezi 3 paka 4
Mradi upo 3km kutoka lami.
Viwanja ni vizuri kwa ujenzi wa APARTMENT, makazi na biashara, maji yapo kwenye mradi, umeme upo kwenye mradi, bajaji mia 700 tu.
Ukubwa viwanja kuanzia sqm 200(40X50futi) ,400,600,800,1000.
..
2]MRADI WA VIKINDU CHANG'OMBE.
Bei Ya kiwanja kwenye miradi huu million 1.3 tu [tsh 1,300,000/=], utaanza na LAKI NANE TU ( TSH 800,000/=) kiasi kinachobakia utapewa miezi 3.
Maji yapo site, umeme upo karibu, viwanja vipo karibu kabisa na barabara kubwa ya ndani.
Mradi upo 6km kutoka lami.
Bajaji tsh 1000 paka site.
Ukubwa kuanzia sqm 200(40X50futi) , 400, 600,800,1000.
..
Usafiri wa kufika hapa VIKINDU kutoka Kariakoo, Posta, tandika, temeke, feryy ni uhakika muda wote, unapanda gari moja tu kutoka maeneo hayo.
..
NB. Karibu kuona viwanja kila siku, tupo kuanzia saa 4 asubuhi paka 10 jioni.
OFISI ZETU ZIPO VIKINDU.

Safari hii ushindwe ww tu kujenga na chagile Real Estate.

Ardhi ni hazina na fainali ni uzeeni kijana mwenzangu.

..
chagile_real_estate_tz
chagile_real_estate_tz

..
#simbasc #yangasc #tanzania #rayvanny#zuchu #azamsports2

Chagile Real Estate TZ |WAUZAJI VIWANJA [PLOTS SERVICES]
chagile_real_estate_tz
Chagile Real Estate TZ |WAUZAJI VIWANJA [PLOTS SERVICES]

Similar items by location

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 200,000

Apartiment house for rent nzuri kali sana Location External Maji chumvi km2 usafiri bajaji na dalada...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 400,000

#KODI 400000 K X6NYUMBA YA KUPANGA IPO #KIMARA_TEMBONI #ZIPO NYUMBA MBILI KWENYE FENSI MOJAKAMA U...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 13,000,000

KIWANJA KINAUZWA MAHUNGU BLOCK F👉🏼SQM 525 UkubwaBlock F👉🏼Bei 13milion tuDocument Hati miliki 👉�...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 13,000,000

KIWANJA KINAUZWA MAHUNGU BLOCK F👉🏼SQM 625 UkubwaBlock F👉🏼Bei 13milion tuDocument Hati miliki 👉�...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 7,000,000

KIWANJA KINAUZWA MAHUNGU BLOCK M👉🏼SQM 525 UkubwaBlock M👉🏼Bei 7milion tuDocument offer ya CDA👉🏼...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 15,000,000

KIWANJA KINAUZWA MAHUNGU BLOCK D👉🏼SQM 450 UkubwaBlock D👉🏼Bei 15milion tuDocument Hati miliki 👉�...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 8,800,000

KIWANJA KINAUZWA MAHUNGU BLOCK L👉🏼SQM 450 UkubwaBlock L👉🏼Bei 8.8milion tuDocument Hati miliki 👉...

Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 23,000,000

Pagala linauzwa lipo chunya mjini Nikubwa Vyumba 5 Master mbiliBei million 23Spmet 1300 . Call me O...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 12,000,000

KIWANJA KINAUZWA MNADA MPYA DODOMA 👉SQM 750 kipo Block J 👉8km kutoka mjini na 1km kutoka stand ya...

Nyumba inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 25,000,000

Nyumba inauzwa ipo Mbeya Mjini Old airport Bei million 25 Call O785027773

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 45,000,000

Hii sio ya kukosaa ndugu zangu Ni mpamaaa dodoma Karibu na mlimwa c dodoma Kiwanja kina ukubwa wa SQ...

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 350,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA KISASA MWANGAZA DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 5 kutoka katikati ya Jiji ...

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 350,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA KISASA MWANGAZA DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 5 kutoka katikati ya Jiji ...

Frame inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

⚜️ Flem Kubwa Sana Hii Inapangishwa ⚜️ Mahari 👉 Dodoma Mjini Kati👉 Ipo Jirani na Dodoma Hotel 👉...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 35,000,000

KIWANJA KIZURI #KUNA UKUBWA WA SQM 450 KARIBU NA HOTEL EXPERANZA DODOMA MJINI DOCUMENTS:HATI✅Piga 06...

Shamba linauzwa Mjini, Ruvuma
  • Agriculture

Sh. 950,000

🌱 Shamba Ekari 60 Linauzwa!📍 Lipo Ititi, km 15 kutoka Singida Mjini💰 Tsh 950,000/ekari✅ Linafaa k...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

MPYAA KABISA HII UNAZINDUA MWENYEWE #KODI 500,000X6 LOCATION: #KIMARA_STOP_OVER 📌VYUMBA VIWILI VYA ...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

APPARTMENT INAPANGISHWA KARIBU NA MJINI______MAHALI-AREA C ______MUUNDO -VYUMBA 03(01 MASTA)-SEBULE-...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

APPARTMENT INAPANGISHWA KARIBU NA MJINI______MAHALI-AREA C ______MUUNDO -VYUMBA 03(01 MASTA)-SEBULE-...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

APPARTMENT INAPANGISHWA KARIBU NA MJINI______MAHALI-AREA C ______MUUNDO -VYUMBA 03(01 MASTA)-SEBULE-...