Nyumba inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam


Apartment inapangishwa UBUNGO RIVERSIDE dk2
Nyumba ina chumba kimoja cha KULALA
Master bedroom
Sebule
Umeme wa luku
Maji yana flow ndani
Full tilles & gypsum
Usalama wakutosha
Kodi 180,000/= kwa mwezi mmoja, Malipo miezi 6
Kwa maelezo zaidi piga :--
0712528820
0685221354
Wote mnakalibishwa
Mr.