Nyumba inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam


Apartment Kali Inapangishwa
Mahali: Ubungo Riverside
Bei: 300,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 6
☑️Dk3 Kutembea Kutoka Kituoni
☑️Chumba Kimoja
☑️Sebule
☑️Jiko
☑️Bafu Na Choo Ndani
☑️Fensi
☑️Parking Kubwa
☑️Tiles, Gypsum
☑️Sliding Windows
☑️Luku Inajitegemea
☑️Reserve Tank
☑️Dawasa Maji 24/7
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 20,000/= (Inalipwa Mara Moja Na Itadumu Mpaka Upate)
Bila Kusahau Malipo Ya Mwezi Mmoja Wa dalalimaster_tz
Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988 / 0627836051