Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







CHUMBA MASTER NA JIKO INAPANGISHWA – KIMARA SUKA
💰 Kodi: TZS 120,000 kwa mwezi× 6
📍 Mahali: Kimara Suka – km 1.5 tu kutoka barabara kuu
Bajaji 700
Boda 1000
🛏 Chumba choo ndani Na Jiko–
⚡ Umeme wako | 💧 Maji Yana floor
📶 aipo kwenye fensi Mazingira mazuri sana
📅 Available
📞 Simu ya kazi:
🕒okoa mda wahi mapema🔥
📸 Nyumba safi, tulivu – haraka kabla haijaenda!
👁 Viewing: TZS 15,000
Malipo ya Dalali ni mwezi mmoja
Contact:
0654101710
0787205300




















