Nyumba inapangishwa Kinondoni, Dar Es Salaam


NYUMBA INAANGALIA LAMI YA MTAA,TSHS.55 MILIONI,KINONDONI.
Eneo ni Kinondoni MKWAJUNI.
Ni nyumba ya KIZAMANI.
Hapa unaweza;
●Kuendelea kuchukua Kodi,
●Kuiboresha ili Kuchuma Kodi zaidi,
●Kuweka Makazi yako au
●Kuipiga chini na kuweka Jengo la kisasa la Apartments au Maofisi.
Nyumba inaangalia Barabara yenye Lami ya Mtaa.
Na si mbali na Barabara kubwa.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________ryt



















