Nyumba/Apartment inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


๐จ๐จ๐จ
New Apartments for Rent- Master bedroom & kitchen
โข Unajitegemea umeme & maji
โข Nyumba ipo karibu sana na lami
โข Fenced upande mmoja & parking ipo
๐ Nyumba ni mpya, ukilipia wanamalizia kufunga mabomba ndani
๐ฐ Bei: TZS 250k kwa mwezi
๐ Mahali: KIMARA KONA
๐
Masharti ya Malipo: kuanzia miezi 6
Huduma za Ziada:
โข Service charge: TZS 20,000 (itadumu mpaka utakapopata nyumba)
โข Gharama ya udalali: Kodi ya mwezi mmoja
Kwa mawasiliano zaidi:
๐ WhatsApp/Piga: O677370515