Nyumba/Apartment inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam


Apartment Mpya Inapangishwa
Mahali: Sinza
Bei: 400,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 12 (Kuna Maongezi)
Air Bnb Tunachukua
☑️Karibu Sana Na Lami
☑️Chumba Sebule Jiko Choo
☑️Fensi & Parking
☑️Inajitegemea Umeme
☑️Maji Dawasa & Reserve Tank
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 30,000/= (Inalipwa Mara Moja Na Itadumu Mpaka Upate)
Bila Kusahau Malipo Ya Mwezi Mmoja Wa dalalimastertz
Call & Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988 / 0622651649
Viwanja Na Ofisi Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#DalaliMasterTz #MasterMijengo.