Kiwanja kinauzwa Bunju, Dar Es Salaam


KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWA
🏡📍 Bunju B - Dar es Salaam
📐 Ukubwa: 1500 sqm
📄 Hati: Kimepimwa na kina Hati Halali kutoka Wizara
🚗 Gari inafika moja kwa moja hadi kwenye kiwanja
🏘️ Mtaa umejengeka vizuri sana
🛣️ Kiwanja kinaangalia barabara ya mtaa
⚡💧 Huduma za kijamii zote zipo karibu (umeme, maji, n.k)
💰 Bei: Milioni 110 (Maongezi yapo)
🧾 Service Charge: TSh 20,000/=
📞 Call/WhatsApp: 0687 800 788