Kiwanja kinauzwa Bunju, Dar Es Salaam


Tayari kina bomba la maji ya dawasco na linatoa maji
24hrs-
Tunauza kiwanja
Bei TSH MIL 9,800,000/= ( milioni tisa na laki nane tu)
Ukubwa wa kiwanja: kina SQM 400.
Location: kipo BUNJU A MJI MPYA. Hapa ni kilometer 4 tu toka bagamoyo road.
Tupigie simu : 0749 060677
vijana_realestate
dalali.evance
dalali.kijana
dalalicheupe
mirah_maplots
Office: TEGETA AZANIA CHIEF HOUSE tumehamia ghorofa ya kwanza