Kiwanja kinauzwa Kerege, Pwani


PAGALE LA GOROFA, VYUMBA 4, TSHS.120 MILIONI, KEREGE, BAGAMOYO.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,450.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuina ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe Mnunuzi
+255714591548
______________mpg
Imejengwa kisasa.
Vyumba vinne (4) ambavyo vyote vina Vyoo ndani.
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.