Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam


📍 Kiwanja kinauzwa kigamboni Dege
📍Umbal wa kilometer 13 kutoka fer yaan kivukoni
📍Napia umbal wa kilometer 14 kutoka Daraja Ra nyelele
📍Na Niumbal wa mitar 100 kutoka Barabara ya lami
SIFA ZA KIWANJA
📍Kiwanja kinaukubwa wa heka moja na nusu sawa na Sqm 6200
📍Kiwanja kimepimwa na kinahat kamil
📍Majiran wako vizur
📍Huduma za kijamii zipo Kama maji, umeme na NK..
📍Bei mill 100
☎️0789020004
NB : Gharama za kupelekwa saint ni erf 20,000