Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam


📍 Kiwanja kinauzwa kigamboni kibada kiwanja nichapil kutoka rami
📍Umbal wa kilometer 7 kutoka fer yaan kivukoni
📍Napia umbal wa kilometer 6 kutoka Daraja Ra nyelele
SIFA ZA KIWANJA
📍Kiwanja kinaukubwa wa Sqm 1009
📍Kiwanja kimepimwa na kinahat kamil
📍Majiran wako vizur
📍Huduma za kijamii zipo Kama maji, umeme na NK..
📍Bei mill 90 maongeza yapo
☎️0789020004
NB : Gharama za kupelekwa saint ni erf 20,000