Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam


📍 kiwanja kinauzwa kigamboni kibada block 26
📍Umbal wa kilometer 9 kutoka fer yaan kivukoni
📍Na umbal wa kilometer 8kutoka Daraja Ra nyelele
📍Napia umbal wa mita 100 kutoka men rod
SIFA ZA KIWANJA
📍kiwanja kimepimwa na kinahat kamil ya wizara
📍Majiran wako vizur
📍Huduma za kijamii zipo Kama maji, umeme na NK..
📍 Kiwanja kinaukubwa wa Sqm 630
📍kiwanja nicha tatu kutoka barabara kubwa ya lami
📍Bei mill 65
☎️0789020004
NB : Gharama za kupelekwa saint ni erf 20,000