Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam


📍 Kiwanja kinauzwa kigamboni kibada block 1
📍Umbal wa kilometer 9 kutoka fer yaan kivukoni
📍Napia umbal wa kilometer 8 kutoka Daraja Ra nyelele
SIFA ZA KIWANJA
Kiwanja kinaumbali wa kilometar 3 kutoka men rod kubwa ya rami
Pia kiwanja kinahati ya wizara
📍Kiwanja kinaukubwa wa sqm 1500
📍Majiran wako vizur
📍Huduma za kijamii zipo Kama maji, umeme na NK..
📍Bei mill 65
☎️0789020004
NB : Gharama za kupelekwa saint ni erf 20,000