Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam


🚨 WATU MPO WAPIII?? 🚨
Ramani imejaa SOLD…
Na bado unafikiria? 😅
Buyuni – Kigamboni ndio mji unaokua kwa kasi sana!
Watu wanaingia kimya kimya… nafasi zinapungua kimya kimya!
📍 Km 45 kutoka Ferry
📍 Km 2 tu kutoka barabara kuu
💰 18,000/= kwa sqm
🗓 Lipa miezi 6 bila stress
🔥 Anza na NUSU ya malipo
Hii sio story… ni movement!
Usisubiri kuona “PROJECT CLOSED” ndipo uanze kuuliza bei.




















