Kiwanja kinauzwa Majohe, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA VITATU (3) TSHS.18 MILIONI,MAJOHE/GONGO LA MBOTO.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.400
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Eneo ni Kona ya kwa Ngozoma.
Ni nyumba ya kumalizia ujenzi na inauzwa kwa dharula.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe Mnunuzi)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
______________mpg
Unamalizia finishing tu.
Ukihitaji unahamia kabisa kwani imesitirika.