Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam


NYUMBA INAUZWA NA BANK, TSHS.30 MILIONI,MBEZI MWISHO/MSUMI.
Ni jirani na shule ya msingi Mbopo.
Kiwanja kina ukubwa wa Mita za Mraba 400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ni ya kumalizia.
Ujenzi wa kisasa.
Vyumba 3(Masta 1) Sebule, Jiko, Dining-room na Choo cha Familia ndani.
Pia kuna Frem ya Biashara.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuina ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe Mnunuzi)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
________________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.