Kiwanja kinauzwa Msasani, Dar Es Salaam


JENGO LINALOANGALIA BARABARA YA LAMI, TSHS.550 MILIONI, MSASANI.
Ni jirani na Hospitalj ya CCRT.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.350.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Hapa unaweza kufanya Ofisi au Hostel.
Zaman ilikuwa Shule.
Msingi ni kwaaliji ya Sakafu(3)
Kwahiyo ukipenda unaweza kujenga zaidi.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuina ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe Mnunuzi)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
_____________mch/maand
Ukihitaji kuikagua taarifa mapema tafadhali.