Nyumba inapangishwa Goba, Dar Es Salaam


✍️NEW APARTMENT_FOR RENT
📍LOCATION; GOBA KINZUDI
SIFA ZA NYUMBA
📌2 Bedrooms (1 Master Bedroom)
📌Sitting Room
📌Public Toilet
📌Kitchen ( Makabati)
📌Stand alone ( Mpangaji mwenyewe)
📌Sehemu kubwa ya nje unaweza kujenga mabanda ya kuku au bustan kubwa
📌Boda Boda toka Kituo cha dala dala( Kinzudi) 1,000/=Tsh
📌Nyumba Haina Fensi ila Usalama 100% Mana Ni mtaa wa kishua sana
KODI NA UTARATIBU WA MALIPO
📌Kodi 400,000/=Tsh Kwa Mwezi
📌Muda wa malipo miezi 3
📌Malipo ya dalali 400,000/=Tsh
📌Service charge 20,000/=Tsh
MAWASILIANO
0742584738
0715854630