Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


INAPANGISHWA 250,000/=× 3/4/5/6
--------------------------------
📌Mahali KIMARA MWISHO_2.5KM(Dsm) 🇹🇿
Bajaji Zipo Muda Wote 700/=
Sehemu nzuri sana
_______________________________________
MUUNDO
✔️Vyumba 02 _ Vya Kulala
✔️Sebule Nzuri Kubwa
✔️Jiko ndani Kubwa
✔️Choo Cha Public Ndani
✔️ Public toilet safi ndani
✔️ Parking Nzuri
✔️Nyumba nzuri &Ya kisasa
✔️Maji ndani
✔️ Reserve Tank
_______________________________________
HUDUMA (UNAJITEGEMEA)
✔️Maji Mita Yako
✔️Umeme #LUKU YAKO
📌Ndani ya FENCE & Parking Ipo KUBWA
*INAFANYIWA MAREKEBISHO MAZURI MNO*
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
KODI;
250,000/= TZS. Kwa mwezi
Malipo ni miezi 3 TU + mwezi mmoja wa dalali
_________________________________________
Gharama ya kwenda Kuona Nyumba ni Tsh. 15,000
____________________
0655256419