Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Kimara Korogwe
🕑1.8km Kutoka Mwendokasi, Pia Unaweza Pitia Ubungo External kote Saafi, Bajaji 500 tu. ukishuka Unapiga Teke Mlango
🏡#SIFAZAKE
🔹Chumba Kimoja Master Kikubwa
🔹Sehemu ya Jiko
🔹Umeme Sub-Meter yake
🔹Maji yanflow ndani
🔹Fensi yake Hailazi Gari
,📌Hii Inakuwa Wazi Tar 25/06/2024 Kuiona Na kulipia Ruksa .
🔶Kodi Tsh 150,000/=×6(Miezi Sita)
🔶Malipo ya Dalali Jose Tsh 150,000/=
🔶Service Charge Tsh 15,000/=
__________
#Piga_simu 🤞
,
#0688573777
,
Karibu sana ndg Mteja.