Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


NYUMBA INAPANGISHWA KIMARA TEMBONI 250000 KWA MWEZI×6
Chumba master na sebule na jiko zuri la kisasa kabisa
Ambayo inajitegemea kwa kila kitu kuanzia umeme wake na mita yake ya maji Dawasa
kwenye fensi moja zipo apartment 4 na hii moja ndio ipo wazi zipo kimara temboni upande wa kushoto njia iliyowekwa lami
Kutoka Morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bajaji sh 500
0674596521
0766808522