Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







INAPANGISHWA LOCATION KIMARA SUKA DK 8
KUTEMBEA KWA MIGUU PIKIPIKI ELF 1
KUTOKA SUKA STEND
KUPELEKWA KUONA NYUMBA ELF 15
UKIPENDA NYUMBA DALALI UTAMPA PESA YA MWEZI MMOJA
SIFA YA NYUMBA
__________________
hii ni chumba sebule master bedroom na jiko zuri ndani Inajitegemea umeme NA maji nyumba hii ipo ndani ya fensi Mazingira mazuri sana
KODI YA PANGO
_________________
KWA MWEZI NI LAKI 350,000 X 6
nahera ya kushikiya nyumba
Mwezi mmoja
Hiyo nikwajiri siku unapo hama
Mwenye nyumba atakuja kuangaria nyumba yake akikuta umme haribu anakukata matengenezo
CALL
0677445508