Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🟦 CHUMBA NA SEBULE KINAPANGISHWA – 100,000 TZS
📍 Eneo: Kimara Suka – umbali wa km 1.5 kutoka barabara kuu
---
🛏️ MAELEZO YA NYUMBA:
✅ Chumba na sebule vyenye nafasi nzuri
✅ Choo cha nje cha kwako– safi na karibu
✅ Maji yanapatikana muda wote
✅ Umeme wa LUKU binafsi 2
✅ Nyumba ipo ndani ya fensi salama
✅ Mazingira tulivu, yanafaa kwa mtu mmoja au wanandoa
---
💰 Kodi: 100,000 TZS kwa mwezi
📆 Malipo ya mwanzo: Miezi 5
👁️ Kuangalia nyumba: 10,000 TZS
---
📞 Wasiliana:
Simu / WhatsApp – 0659244543
---
✨ Chumba na sebule zenye hadhi kwa bei nafuu – fursa ya kuishi Kimara kwa utulivu!
🔖