Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







MASTER BEDROOM NZURI INAPANGISHWA – KIMARA SUKA
📍 Mahali: Kimara Suka
🕗 Umbali: Takribani km 2.5 kutoka Kituo cha Mwendokasi.
Usafiri wa Bajaji Tsh 700 tu.
🏠 SIFA ZA NYUMBA
🔸 Chumba master kikubwa na kizuri.
🔸 Umeme wa LUKU (Submita yake binafsi)
🔸 Maji safi yanapatikana ndani muda wote (24/7).
🔸Fensi & packing kubwa sana
GHARAMA
🔹 Kodi: Tsh 100,000/= × miezi 3.
🔹 Malipo ya Dalali: Tsh 100,000/=
🔹 Service Charge: Tsh 20,000/=
📌 TAARIFA MUHIMU: Kodi ni Tsh 100,000/= kwa MWEZI, na malipo yanaanzia miezi 3 tu.
📞 Piga simu: 0740747383
💬 & WhatsApp.
🙏 Please follow us.
🤝 Karibu sana mteja halisi 😊



















