Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







INAPANGISHWA LOCATION KIMARA SUKA DK 15
PIKIPIKI ELF 1
KUPELEKWA KUONA NYUMBA SERVICES CHUG 15
UKIPENDA NYUMBA DALALI UTAMPA PESA YA MWEZI MMOJA
SIFA YA NYUMBA
__________________
nyumba ina vyumba viwilli vya kulala vyumba vyote ni master bedroom Sebule kubwa sana na jiko ripo pepeni kidogo hapo unapo ona mrango wa pepeni hilo ni jiko
Nyumba hii ipo ndani ya fensi Mazingira mazuri sana
KODI YA PANGO
________________
kwa mwezi ni laki mbili tuu/=
(200,000)
X6
Kwa maelezo zaidi Piga simu uhudumiwe kwa halaka
Service charge elfu 15. Ukilipia nyumba ni kodi ya mwezi mmoja malipo ya dalali
Simu 0677445508