Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam
![media -1 media -1](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fmakazimapya.s3.amazonaws.com%2Fpublic%2Fads%2Fimages%2F9b337312-8531-4139-a815-df6312b40fb5.jpg&w=3840&q=75)
![media -1 media -1](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fmakazimapya.s3.amazonaws.com%2Fpublic%2Fads%2Fimages%2F9b337312-8531-4139-a815-df6312b40fb5.jpg&w=256&q=75)
APARTMENT INAPANGISHWA KIMARA STOP OVER
===
Chumba cha kulala
Sebule
Choo ndani
Jiko
Bei:250,000 Kwa mwezi × 6
===
Kila apartment inajitegemea umeme na maji yanaflow chooni na jikon
===
Umbali KM 1 Usafiri bodaboda 1000, kama huna haraka unatembea
===
Ndani ya fence parking IPO
===
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
0710614924
0688653940