Nyumba inapangishwa Masaki, Pwani


Azam wameshawasilisha mkataba mpya wa kufuru wa miaka 3 'Bumper Contract' kwa kiungo wao Feisal Salum.
✍️Mshahara, Milioni 70 kwa mwezi (Milioni 50 take home)
✍️Signing-Fee, Dollar 200,000 kila mwaka kwa muda wa miaka 3 (Jumla Dola 600,000)
✍️Ubalozi kwenye Makampuni ya Azam, ambapo atapokea Milioni 200 kila mwaka.
✍️Nyumba Masaki na Gari mpya. Package yote hiyo kwa muda wa miaka 3 inafika Shilingi Bilioni 5.
Anasubiriwa Feisal tu kufanya maamuzi juu ya Contract Proposal hiyo na uwezekano wa kuusaini mkataba huo ni mkubwa.
✍️✍️✍️ Posted with haatimabdul