Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


APARTMENT ZINA PANGISHWA MBEZI KWA MSUGULI DK15 KWA MIGUU KUTOKA LAMI
---------
Vyumba 2 vya kulala master bedroom kubwa
Seble kubwa sana
Joko kubwa la kisasa lina makabati
Public toilet
Slide window
Maji yana flow
Luku yako
Tiles
Full makabati vyumbani
Ndani ya fence
Parking space kubwa sana
----------
Service charge 15,000/=
Kodi 400,000/=×5
------------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 4
-------------
Contact
#0676_218580 (WhatsApp)
#0693_673010
#DALALI_BIG_KIMARA🇹🇿
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT 🇹🇿
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏