Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


350,000
Mbezi kwa msuguli
STAND ALONE KUBWA SANA YA KIFAMILY
INAFANYIWA MAREKE BISHO YOTE BILA SHAKA
MTAA TULIVU
INAPANGISHW MBEZI KWA MSUGULI #350k
Vyumba 4 vya kulala kimoja master
sebule jiko
na public toilet ya ndani
Sto kubwa ya jikoni
Mtaa wa kishuwa kabisa
Kodi 350,000 Kwa mwezi × 6
Ina pigwa langi nyumba nzima
Umbali dakika 7
Kwamiguu kutoka Morogoro road Ipondani ya fence kubwa
Unaweza kufuga ina eneo kubwa sana la kufugia
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
#DALALI_AMBWENE_UBUNGO
#0712348316Whatsp
#0769680796whtsp