Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam







NYUMBA INAPANGISHWA
IPO - DAR ES SALAAM
📍ENEO- MBEZI KWAMSUGURI
Upande wa kusho kama unaenda mbezi
📍BEI - 100,000 x4,5,6
NYUMBA
YENYE
______
🔸Chumba master na
🔸Sebule kubwa sana
🔸 Maji yanatoka ndani
🔸Wapangaji watatu tu
🔸Ila kimoja ndicho kipo waziiii
🔸Madrisha ya kioo
🔸Umeme
🔸Haipo kwenye fensi,ila usalama wakutosha
🔸Umbali wa 2km
Bajaji 1000
PK PK 1500
Ukishuka kwenye bajaji unaingia ndani
📍Service charge. 15,000 elfu
Piga 0659244543