Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma



Tunauza viwanja Vilivyopimwa vipo chalinze mkoa wa Pwani eneo linaitwa Magome 4 km kabla ya kufika chalinze mjini ukiwa unatokea Dar es Salaam kuelekea Morogoro
Mradi upo mita 500 kutoka morogoro road una tembea kwa miguu.
Viwanja vyote vimepimwa
Bei ni Tsh 3000 kwa square meter moja
Kiwanja cha sqm 400 ( 20 x 20) ni Tsh 1.2mln unaweza kulipa kidogo kidogo kuanzia Tsh 50000 kwa mwezi kwa miezi 18
Tumefungua Ofisi Mpya Chalinze mjini Oposite na stend ya mabasi, mkabala na Halmashauri ya Chalinze tume wasogezea huduma karibu wateja wetu Tupigie 0785559755
Au fika ofisini kwetu POSTA MPYA DAR ES SALAAM JENGO LA MAVUNO HOUSE MTAA WA AZIKIWE ROOM 203 2nd Floor
Ardhi ni uwekezaji unalipa .
Miliki sasa