Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

 media -1
media -1
media -2
media -3
Sh. 3,300,000
Project
Yes

JE WEWE NI MMOJA WAPO UNAYEITAJI/KUHANGAIKA KUPATA VIWANJA VYA MJINI....!?
..
Hii inakuhusu wewe unayeitaji kupata viwanja vya mjini, ambavyo vina huduma zote za muhimu.
Chagile Real Estate ni mabingwa na wazoefu wa hizi kazi, kwa zaidi ya miaka mitano.
Piga/WhatsApp
0654 77 39 67
0752 74 47 81
..
Tumekuandalia miradi yetu MITATU ya viwanja MBAGALA VIKINDU MJINI hupaswi kukosa kabisa ndugu mtanzania tena kwa bei rahisi na zakizawa.
..
Ni Viwanja Vizuri Na mji uliopangiliwa kisasa zaidi, viwanja vimepimwa ni tambarare na vimezunguka na huduma muhimu za kijamii, kama hospitali, shule za serikali, maji, umeme, vituo vya polisi na usafiri wa bajaji na bodaboda upo kila siku.

1]MRADI WA VIKINDU VIANZI MJINI.
Mradi wetu wa Vikindu Vianzi mjini bei zake ni TSh million 2.6 [tsh 2,600,000 /=] kwa millioni 3.3 TU [tsh 3,300,000/]. Malipo kwa awamu mbili utaanza na asilimia 50% hadi 70% kiasi kinachobakia utapewa miezi 3 paka 4
Mradi upo 3km kutoka lami.
Viwanja ni vizuri kwa ujenzi wa APARTMENT, makazi na biashara, maji yapo kwenye mradi, umeme upo kwenye mradi, bajaji mia 700 tu.
Ukubwa viwanja kuanzia sqm 200(40X50futi) ,400,600,800,1000.
..
2]MRADI WA VIKINDU CHANG'OMBE.
Bei Ya kiwanja kwenye miradi huu million 1.3 tu [tsh 1,300,000/=], utaanza na LAKI NANE TU ( TSH 800,000/=) kiasi kinachobakia utapewa miezi 3.
Maji yapo site, umeme upo karibu, viwanja vipo karibu kabisa na barabara kubwa ya ndani.
Mradi upo 6km kutoka lami.
Bajaji tsh 1000 paka site.
Ukubwa kuanzia sqm 200(40X50futi) , 400, 600,800,1000.
..
Usafiri wa kufika hapa VIKINDU kutoka Kariakoo, Posta, tandika, temeke, feryy ni uhakika muda wote, unapanda gari moja tu kutoka maeneo hayo.
..
NB. Karibu kuona viwanja kila siku, tupo kuanzia saa 4 asubuhi paka 10 jioni.
OFISI ZETU ZIPO VIKINDU.

Safari hii ushindwe ww tu kujenga na chagile Real Estate.

Ardhi ni hazina na fainali ni uzeeni kijana mwenzangu.

..
chagile_real_estate_tz
chagile_real_estate_tz

..
#simbasc #yangasc #tanzania #rayvanny#zuchu #azamsports2

Chagile Real Estate TZ |WAUZAJI VIWANJA [PLOTS SERVICES]
chagile_real_estate_tz
Chagile Real Estate TZ |WAUZAJI VIWANJA [PLOTS SERVICES]

Similar items by location

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 100,000

NYUMBA NZURI ( INAPANGISHWA BEI NI 100K🌟NYUMBA HII INA SIFA ZIFUATAZO #CHUMBA KIKUBWA #SEBURE #CH...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 38,000,000

KIWANJA KINAUZWA CHIDACHI DODOMA.👉 Km 7.5 Kutoka mjini👉kipo mtaa wa Mzuri Sana👉kina ukubwa wa Sqm...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 22,000,000

KIWANJA KINAUZWA ZC MICHESE IMEPAKANA NA ITEGA DODOMA.👉 Km 7 Kutoka mjini👉kipo mtaa wa Mzuri Sana...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

APPARTMENT INAPANGISHWA KARIBU NA MJINI______MAHALI-AREA C ______MUUNDO -VYUMBA 03(01 MASTA)-SEBULE-...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 47,800,000

✅Nauza kiwanja hichi DODOMA MJINI✅Mkalama block DD ✅Kiwanja kizuri saanaaa nakiuza kwa bei ya ofaa✅K...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 75,000,000

KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWAMAHALI-MJINI KABISA AREA A CENTER _________________________CHA 03 TOKA B...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 1,200,000

👉NYUMBA NZURI SANA INAPANGISHWA DODOMA MJINI ➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖👉USHUANI MORENA HOTEL ➖➖➖➖➖➖➖➖👉👉VYUMB...

Viwanja vinauzwa Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 4,000,000

Thanks sana Maboss zetu mnaendelea kuweka mjini👊🏻🤜🏻👏🏻Kwetu hati ni lazma OFA OFA OFA YA FUNGA...

Nyumba inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 140,000,000

NYUMBA NZURI INAUZWAUMBALI YA 04 TOKA BARABARA YA LAMI________________________MAHALI-ILAZO (JIRANI N...

Nyumba inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 140,000,000

NYUMBA NZURI INAUZWAUMBALI YA 04 TOKA BARABARA YA LAMI________________________MAHALI-ILAZO (JIRANI N...

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mjini, Ruvuma
  • By Installment

Sh. 600,000

Je, unakuja na familia na unahitaji apartment ili kupunguza gharama za chakula na kufua — hasa ukiwa...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 3,000,000

BEI MILIONI 3 HIVI KIWANJA UNAAONA NA KULIPIA..NJOO ANZIA MAISHA MJINI ..KIWANJA KINAUZWA KIPO MBEZI...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 85,000,000

KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWAMAHALI-MJINI KABISA AREA A CENTER _________________________CHA 03 TOKA B...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 85,000,000

KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWAMAHALI-MJINI KABISA AREA A CENTER _________________________CHA 03 TOKA B...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 85,000,000

KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWAMAHALI-MJINI KABISA AREA A CENTER _________________________CHA 03 TOKA B...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 85,000,000

KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWAMAHALI-MJINI KABISA AREA A CENTER _________________________CHA 03 TOKA B...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 85,000,000

KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWAMAHALI-MJINI KABISA AREA A CENTER _________________________CHA 03 TOKA B...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 35,000,000

Sqm 800Michese Zc Bei 35 milion Dodoma mjini opp ITEGA Call /whatsup 0758299052 au 0655527289#reales...

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 46,000,000

NAUZA NYUMBA YA KUMALIZIA KIKUYU EXTENSION DODOMA JIRANI NA SGR STATION 👉 MUUNDO 👉 Vyumba Vinne ...

Nyumba inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 3,000,000

GHOROFA LINAPANGISHWA MAENEO YA MJINIKWA MATUMIZI YA OFISI(SHIRIKA NA MAKAMPUNI/TAASISI)MAKAZI PIA U...