Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

 media -1
media -1
media -2
media -3
Sh. 3,300,000
Project
Yes

JE WEWE NI MMOJA WAPO UNAYEITAJI/KUHANGAIKA KUPATA VIWANJA VYA MJINI....!?
..
Hii inakuhusu wewe unayeitaji kupata viwanja vya mjini, ambavyo vina huduma zote za muhimu.
Chagile Real Estate ni mabingwa na wazoefu wa hizi kazi, kwa zaidi ya miaka mitano.
Piga/WhatsApp
0654 77 39 67
0752 74 47 81
..
Tumekuandalia miradi yetu MITATU ya viwanja MBAGALA VIKINDU MJINI hupaswi kukosa kabisa ndugu mtanzania tena kwa bei rahisi na zakizawa.
..
Ni Viwanja Vizuri Na mji uliopangiliwa kisasa zaidi, viwanja vimepimwa ni tambarare na vimezunguka na huduma muhimu za kijamii, kama hospitali, shule za serikali, maji, umeme, vituo vya polisi na usafiri wa bajaji na bodaboda upo kila siku.

1]MRADI WA VIKINDU VIANZI MJINI.
Mradi wetu wa Vikindu Vianzi mjini bei zake ni TSh million 2.6 [tsh 2,600,000 /=] kwa millioni 3.3 TU [tsh 3,300,000/]. Malipo kwa awamu mbili utaanza na asilimia 50% hadi 70% kiasi kinachobakia utapewa miezi 3 paka 4
Mradi upo 3km kutoka lami.
Viwanja ni vizuri kwa ujenzi wa APARTMENT, makazi na biashara, maji yapo kwenye mradi, umeme upo kwenye mradi, bajaji mia 700 tu.
Ukubwa viwanja kuanzia sqm 200(40X50futi) ,400,600,800,1000.
..
2]MRADI WA VIKINDU CHANG'OMBE.
Bei Ya kiwanja kwenye miradi huu million 1.3 tu [tsh 1,300,000/=], utaanza na LAKI NANE TU ( TSH 800,000/=) kiasi kinachobakia utapewa miezi 3.
Maji yapo site, umeme upo karibu, viwanja vipo karibu kabisa na barabara kubwa ya ndani.
Mradi upo 6km kutoka lami.
Bajaji tsh 1000 paka site.
Ukubwa kuanzia sqm 200(40X50futi) , 400, 600,800,1000.
..
Usafiri wa kufika hapa VIKINDU kutoka Kariakoo, Posta, tandika, temeke, feryy ni uhakika muda wote, unapanda gari moja tu kutoka maeneo hayo.
..
NB. Karibu kuona viwanja kila siku, tupo kuanzia saa 4 asubuhi paka 10 jioni.
OFISI ZETU ZIPO VIKINDU.

Safari hii ushindwe ww tu kujenga na chagile Real Estate.

Ardhi ni hazina na fainali ni uzeeni kijana mwenzangu.

..
chagile_real_estate_tz
chagile_real_estate_tz

..
#simbasc #yangasc #tanzania #rayvanny#zuchu #azamsports2

Similar items by location

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 18,000,000

💰BEI MILIONI 18 NYUMBA INAUZWA INAVYUMBA VITATU👉VIWIRI MASTER KIMOJA CHA KAWAIDA PUBLIC TOILET 🪑SITT...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 4,000,000

MJINI KATI MWANZAFREMU/OFFICE ZINAPANGISHWA ZIPO ZENYE UKUBWA TOFAUTI TOFAUTI BEI MIL 4 KWA MWENZI07...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 10,000,000

KIWANJA KINAUZWA MICHESE TANESCO DODOMA 👉🏼SQM 1,040 UkubwaBlock ZG👉🏼Bei 10milionDocument saveiform 👉...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 250,000

🏠 NAPANGISHA APARTMENT – SINGIDA MJINI✨ Sifa za Nyumba:🛏️ Vyumba 2 vya kulala (1 Master)🛋️ Sebule nz...

Viwanja vinauzwa Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 17,000,000

Mpamaaa Dodoma /mlimwa CViwanja vinaanzia ukubwa kuanzia SQM 600+ Bei ni 17 milion 📞 0655527289✅mpam...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 250,000

🏠 NAPANGISHA APARTMENT – SINGIDA MJINI (KARAKANA)✨ Sifa za Nyumba:🛏️ Vyumba 2 vya kulala – vyote sel...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 23,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA KWA MATUMIZI YA HOTEL VIKONJE DODOMA MJINI*Kiwanja hiki cha Hotel kina Hati...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 45,000,000

KIWANJA KINAUZWA ILAZO DODOMA MJINIILAZO BLOCK BD PLOT 306KINA UKUBWA WA 732 SQMKINA HATIKIPO jiran ...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 65,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA CHIDACH SOUTH DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 7 tu kutoka katikati ya Ji...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 800,000

⚜️ 3 Bedroom House Classic Sana⚜️ Umeme ,Maji unajitegemea ⚜️ Mahali 👉 Uzunguni Dodoma ( Mjini kabis...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 5,000,000

INAPANGISHWA PEKE YAKEKWENYE FENSI 💰KODI MILION 5* KWA MWEZI⚜️ MUUNDO WA NYUMBA - Vyumba Sana ( 7 ...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 5,000,000

INAPANGISHWA PEKE YAKEKWENYE FENSI 💰KODI MILION 5* KWA MWEZI⚜️ MUUNDO WA NYUMBA - Vyumba Sana ( 7 ...

Nyumba inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 120,000,000

NYUMBA INAUZWA IKO MJINI-TOWNKWA WASIOFAHAMU AREA E(IKO JIRANI NA SUMMIT HOTEL MORO-DASLAAM)________...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 250,000

🏠 APARTMENT INAPANGISHWA – SINGIDA MJINI📍 Karakana🛏️ Vyumba 2 – VYOTE MASTER🛋️ Sebule kubwa sana🍳 Ji...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 250,000

🏠 APARTMENT INAPANGISHWA – SINGIDA MJINI (UKOMBOZI)Vyumba 2 (1 master)Sebule + jiko lenye makabatiPu...

Nyumba/Apartment inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 460,000,000

* APARTMENT ZINAUZWA ILAZO WEST DODOMA MJINI*⚜️ Muundo wa Nyumba ( Apartment. )⚜️ Master Jiko Clas...

Nyumba/Apartment inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 460,000,000

* APARTMENT ZINAUZWA ILAZO WEST DODOMA MJINI*⚜️ Muundo wa Nyumba ( Apartment. )⚜️ Master Jiko Clas...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 8,000,000

🏡 NAUZA KIWANJA 🔥📍 Eneo: Nyuma ya Mizani ya Magari🏘️ Mtaa: Njuki – Singida Mjini📐 Ukubwa: SQM 2,079 ...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 8,000,000

NAUZA KIWANJAEneo: Nyuma ya Mizani ya MagariMtaa: Njuki - Singida MjiniUkubwa: SQM 2,079 (63 × 33)Be...

Viwanja vinauzwa Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 6,500,000

🏡 Viwanja Vilivyo Fuatana – Mmiliki Mmoja 🔥📌 Kiwanja 1: SQM 800 – 3.6M📌 Kiwanja 2: SQM 1200 – 6.5M💡 ...