Nyumba inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam


Apartment Kali Inapangishwa
Mahali: Sinza
Bei: 250,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 3
☑️Karibu Sana Na Lami
☑️Chumba Kimoja Tu Ambacho Ni Master
☑️Fensi
☑️Parking
☑️Tiles, Gypsum & Sliding Windows
☑️Umeme, Maji, Usafi, Ulinzi Na Taka Ni Bure
☑️Full Paving Blocks
☑️Reserve Tank
☑️Dawasa Maji 24/7
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 20,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)
Bila Kusahau Malipo Ya Mwezi Mmoja Wa dalalimastertz
Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988 / 0622651649
Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#MasterMijengo #DalaliMasterTz