Nyumba inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam


Apartment Kali Sana Inapangishwa
Mahali: Sinza
Bei: 400,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 6
☑️Zipo Tatu, Imebaki Moja
☑️Chumba Kimoja Kikubwa
☑️Sebule Kubwa
☑️Open Kitchen Inawekwa
☑️Bafu Na Choo Ndani
☑️Fensi
☑️Parking
☑️Inajitegemea Umeme
☑️Air Conditioners Zinawekwa
☑️Full Paving Blocks Zinawekwa
☑️Reserve Tank
☑️Dawasa Maji 24/7
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 20,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)
Bila Kusahau Malipo Ya Mwezi Mmoja Wa dalalimaster_tz
Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988
Viwanja Na Ofisi Vinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#DalaliMasterTz #MasterMijengo